Mfanyabiashara ya mayai kisiwani Unguja akiwa katika harakati za kupanga mayai kwa ajili ya wateja wake,bidhaa ya mayai katika kipindi hichi cha maandalizi ya sikukuu hutumika sana kwa maandalizi ya mahanjumati kusherehekea sikukuu baada ya mfungo treya moja inauzwa kati ya shilingi 9500/= na 11,000/=.
Kampuni Ya Airtel Tanzania Imewataka Wanavyuo Nchini Kutumia Fursa ya
Kimtandao
-
KAMPUNI ya ya Airtel Tanzania imewataka wanavyuo nchini kutumia fursa ya
kimtandao katika kuwasaidia kuboresha taaluma zao pindi wawapo vyuoni.
Hayo yam...
3 hours ago

0 Comments