Mfanyabiasha Maarufu Zanzibar na Mwanamichezo Mwakilishi wa Jimbo la Uzini Zanzibar akijumuika na waandishi wa habari wa vyombo mbalimbali vilioko Zanzibar katika matembezi hayo kutembea ili kufanya mazoezi baada ya matibabu yake kumalizika na kufthamini mchango wa Waandishi wa habari katika jamii kupasha habari. Matembezi hayo yameazia katika viwanja vya mnazi mmoja na kumalizikia katika Hoteli ya Zanzibar Ocean View Kilimani Zanzibar.
TBS YAHIMIZA MATUMIZI SALAMA YA POMBE NCHINI
-
Shirika la Viwango Tanzania (TBS) limetoa elimu kwa wananchi wa Mkoa wa
Dodoma kuhusu madhara ya matumizi holela ya pombe, likilenga kuzuia athari
za kiafy...
42 minutes ago
0 Comments