Mfanyabiasha Maarufu Zanzibar na Mwanamichezo Mwakilishi wa Jimbo la Uzini Zanzibar akijumuika na waandishi wa habari wa vyombo mbalimbali vilioko Zanzibar katika matembezi hayo kutembea ili kufanya mazoezi baada ya matibabu yake kumalizika na kufthamini mchango wa Waandishi wa habari katika jamii kupasha habari. Matembezi hayo yameazia katika viwanja vya mnazi mmoja na kumalizikia katika Hoteli ya Zanzibar Ocean View Kilimani Zanzibar.
Bilionea David Mulokozi Afanyiwa Birthday ya Kifalme, Banana Zoro Aitikisa
Babati
-
Na Mwandishi Wetu.
Babati, Manyara: Sherehe ya kumbukizi ya kuzaliwa ya Mkurugenzi wa Mati
Super Brands Ltd, Bilionea David Mulokozi, imegeuka kuwa somo ...
1 hour ago
0 Comments