Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Utangazji Zanzibar(ZBC) Aiman Duwe akifanya mahojiano na Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Ali Mohamed Shein, baada ya Uzinduzi wa Studio Mpya za Kisasa katika Majengo ya ZBC Mnazi mmoja leo ikiwa ni sherehe za shamrashamra za kuadhimisha Miaka 54 ya Mapinduzi ya Zanzibar.
TANZANIA YATUMIA MICHUANO YA AFCON 2025 KUUZA MAZAO YA UTALII
-
Na mwandishi wetu, Morocco
NAIBU Waziri wa Maliasili na Utalii, Hamad Hassan Chande (Mb), amesema
Tanzania inatumia fainali za Kombe la Mataifa ya Afrika (...
15 hours ago
0 Comments