Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Utangazji Zanzibar(ZBC) Aiman Duwe akifanya mahojiano na Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Ali Mohamed Shein, baada ya Uzinduzi wa Studio Mpya za Kisasa katika Majengo ya ZBC Mnazi mmoja leo ikiwa ni sherehe za shamrashamra za kuadhimisha Miaka 54 ya Mapinduzi ya Zanzibar.
WATUMISHI WA TEA WAAGIZWA KUTEKELEZA MAJUKUMU YAO KWA UFANISI.
-
Dkt. Edith Rwiza Mkurugenzi wa Utawala na Usimamizi wa Rasilimali Watu
kutoka Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia akiongea na Wajumbe wa Baraza
la Tatu...
1 hour ago
0 Comments