Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi wa Shirika la Ndege Tanzania Mr. Emmnuel Koroso akimkabidhi mfano wa Ndege ya ATCL ya Bombardier Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali Iddi wakati wa hafla ya Uzinduzi wa Mkutano wa Kimataifa wa Wadau wa Sekta ya Usafiri wa Anga Duniani na kuwashirikisha watoa huduma za Ndege, uliofanyika katika ukumbi wa Zanzibar Beach Resort Zanzibar.
Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali Iddi akikabidhiwa Ndege ya Bombardier na Mkuu wa Masoko wa Kampuni ya Bombardier Commercial Aircraft -Middle East&Africa PhD
DIRA YA TAIFA YA MAENDELEO 2050 KUWASILISHWA BUNGENI FEBRUARI 2, 2026,
UTEKELEZAJI KUANZA JULAI 2026
-
Na Mwandishi wetu Dodoma .
SERIKALI kupitia Tume ya Taifa ya Mipango imekamilisha maandalizi ya nyenzo
kuu tatu zitakazowezesha kuanza kwa utekelezaji wa...
15 minutes ago
0 Comments