Mshambuliaji wa Timu ya Villa United FC. Mohammed Mussa akimpita beki wa Timu ya Kizimkazi wakati wa mchezo wao wa Ligi Daraja la Kwanza Taifa uliofanyika Uwanja wa Amaan Zanzibar Timu ya Villa United FC (Mpira Pesa ) imeshinda kwa bao 1-0.
MABORESHO MAKUBWA HOSPITALI YA MJI HANDENI, SERIKALI YATOA BIL.1.2 KUWEKA
VIFAA TIBA VYA KISASA
-
*Na Mwandishi Wetu*
*Maboresho ya huduma za afya katika Hospitali ya Halmashauri ya Mji Handeni
yameanza kuleta matokeo chanya baada ya idadi ya wagon...
3 hours ago
0 Comments