Msikiti wa Maisara Zanzibar ukiwa katika hatua za mwisho yaUjenzi wake kama unavyoonekana picha ukiwa katika mazingira mazuri ya kupendeza baada ya kukamilika ujenzi huo katika hatua za mwazo. Msikiti huu ulikuwa mdogo na kupata ufadhili na kujengwa wa horofa moja na kuchukua waumini wengi katika Ibada ya Sala.
TARI Naliendele yashauri wakulima wa korosho kufuata hatua hizi kuleta tija
uzalishaji wa korosho nchini
-
Na Anne Robi, Mtwara
WATAALAMU wa kilimo cha korosho nchini wamewaasa wakulima kuanza kuandaa
mashamba yao kwa kufuata hatua kuu tatu na muhimu katika kul...
5 hours ago



0 Comments