Muonekano wa maeneo ya Mitaa ya Mchangani Unguja ukiwa katika hali ya harakati za hapa na pale kwa Wananchi wakiwa katika shughuli zao za Biashara na Wananchi kujipatia mahitaji yao ya vifaa mbalimbali katika maduka hayo maarufu kwa uuzaji wa nguo za aina mbalimbali Visiwani Zanzibar.
DC KILOMBERO ATAJA FAIDA LUKUKI UWEPO WA KITUO CHA KUPOZA UMEME IFAKARA
-
Na Said Mwishehe,Michuzi TV
JUKWAA la Wahariri Tanzania (TEF) limefanyika ziara ya kutembelea Kituo cha
Kupoza Umeme cha Ifakara wilayani Kilombero mkoa...
28 minutes ago
0 Comments