Maandhari ya Daraja la Juu katika Barabara ya Tazara kama linavyoonekana picha likiendelea na ujenzi wake huo linalojengwa na Serikali ya Muungano wa Tanzania katika eneo hilo la Tazara jijini Dar es Salaam likiwa katika hatua za mwisho za ujenzi wake.(Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
FEDHA ZA MIRADI YA KIMKAKATI NI KICHOCHEO CHA AJIRA NA UCHUMI JUMUISHI
-
SERIKALI imejipanga kupeleka fedha kwenye miradi mbalimbali ya kimkakati
ili wananchi waendelee kufaidika, ikiwemo kupata ajira katika sekta binafsi
na...
2 hours ago
0 Comments