Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akishirikiana na Madaktari wa Hospitali ya Taifa ya Muhimbili, Wafanyakazi wa Kiwanja cha Ndege cha Mwalimu Julius Nyerere kumshusha kutoka kwenye ndege Waziri wa Maliasili na Utalii Dkt. Hamisi Kigwangalla ambaye alijeruhiwa katika ajali ya gari mkoani Manyara. Ndege hiyo iliwasili majira ya jioni katika uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Mwalimu Julius Nyerere jijini Dar es Salaam.
Uchukuzi : Naibu Waziri David Kihenzile Ashiriki Mkutano wa Kimataifa wa
Masuala ya Uchukuzi Nchini Afrika Kusini
-
Naibu Waziri wa Uchukuzi David Kihenzile, ameshiriki Mkutano wa Kimataifa
wa masuala ya Uchukuzi (NCT), mkutano uliofanyika katika Ukumbi wa
Gallagher E...
1 hour ago




0 Comments