Mwakilishi wa Jimbo la Tunguu Zanzibar Mhe. Simai Mohammed Said
akisisitiza jambo wakati akitowa nasaha zake kwa Waumini na Wanafunzi wa
Madrasa za Kanda ya Bungi wakati wa mashindano ya kusoma na kuhifadhi Quran
yaliofanyika katika viwanja vya Msikiti wa Kibele Wilata ya Kati Unguja Mkoa wa
Kusini.
KAMATI YA UONGOZI WA MRADI WA JNHPP YAKAGUA MAENDELEO YA BWAWA LA JULIUS
NYERERE
-
📌Yasema mradi umesimamiwa na kutekelezwa kwa ufanisi
📌Yasisitiza ni kichocheo muhimu katika za fursa za kiuchumi na kijamii
Kamati ya Uongozi wa Mradi ...
5 minutes ago
0 Comments