BIDHAA za Tungule zimeonekana kushamiri kwa kasi katika kipindi hiki Kisiwani Pemba. Pichani wananchi wakivuna tungule katika moja ya mashamba yao, huko Mjini Ole Wilaya ya Chake Chake.(PICHA NA ABDI SULEIMAN, PEMBA)
TAHA Kuandaa Maonesho ya Kimataifa ya Hortilogistica Africa 2026 jijini
Arusha
-
Na Mwandishi Wetu, Dodoma.
TAASISI kilele ya sekta binafsi inayoshughulika na tasnia ya horticulture
nchini TAHA, imewasilisha rasmi mpango wa kuandaa mao...
2 hours ago
0 Comments