Wananchi wakiangalia gari zilizogongana katika makutano ya barabara ya maisara na muembemadena iliohususha gari mbili ndogo zenye namba ya Usajili Z541 JC aina ya Ist iliyogonga na gari yenye namba za usajili Z 357FL aina ya Vizt, katika jali hiyo hakuna Mtu aliyejeruhiwa. Ili magari yaliogonga yamepata madhara kutoka na ajali hiyo.
TRA DODOMA YATOA MKONO WA UPENDO NA FARAJA KWA WENYE ULEMAVU WA MACHO
KUELEKEA SIKUKUU YA PASAKA.
-
DODOMA, 2 Aprili 2026
Kuelekea sikukuu ya Pasaka, Meneja wa TRA Mkoa wa Dodoma, Bw. Pendolake
Elinisafi, ameongoza ziara ya kutembelea kaya za watu weny...
16 minutes ago
0 Comments