Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akisalimiana na Mkuu wa Wilaya ya Kinondoni, Daniel Chongolo baada ya kuwasili kwenye uwanja wa ndege wa Julius Nyerere jijini Dar es salaam akitoka nchini China, Septemba 9, 2018 alikomwakilisha Rais John Magufuli kwenye Mkutano wa Jukwaa la Ushirikiano kati ya China na Afrika (FOCAC) uliofanyika Beijing hivi karibuni. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
BENKI YA NMB YATOA SH BILIONI 12.4 KWA WAFANYABIASHARA 6,011.
-
Jumla ya Sh12.4 bilioni zimeshatolewa na Benki ya NMB kwa zaidi ya
wafanyabiashara 6,011 ambapo wanufaika wamepewa Elimu ya fedha na uongozi.
Takwimu hizo ...
5 minutes ago
0 Comments