Viongozi wa Chama Cha Mapinduzi Mkoa wa Kusini Unguja Watoa Mkono wa Pole kwa Uongozi wa Hoteli ya Uroa Bay, kutokana na Ajali iliotokea wiki iliopia na kufariki Wafanyakazi wa Hoteli hiyo, Ujumbe huo ukiongozwa na Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi Mkoa wa Kusini Unguja Ndg. Ramadhani Ali Kichupa na Makamu Mwenyekiti wa Jumuiya ya Wazazi Tanzania Ndg Haidar Haji Abdalla, akitowa maelezo Katibu wa CCM wa Mkoa Kusini Unguja, Ndg.Suleiman Mzee (Charas) na kuutambulisha Ujumbe huo kwa Uongozi wa Hoteli hiyo.kulia Mmiliki wa Hoteli Mr. Andrea Balladini.
ALAF YAADHIMISHA SIKU YA WANAWAKE KWA UZINDUZI WA PROGRAMU YA UONGOZI NA
KUISAIDIA JAMII
-
KAMPUNI ya ALAF, imezindua Kundi la tano la Mpango wa Wanawake katika
Uongozi kama sehemu ya maadhimisho ya siku ya Kimataifa ya Wanawake, ambayo
huadhimis...
17 minutes ago

0 Comments