Mchezaji wa Timu ya Afya Zanzibar akijiandaa kudaka mpira wakati wa Mchezo wao wa Ligi Kuu ya Netiboli Kanda ya Unguja mchezo uliofanyika Uwanja wa Gymkhana. Timu ya JKU imeshinda mchezo huo kwa mabao 48 - 28.
TANZANIA NA ALGERIA KUIMARISHA USHIRIKIANO WA OLIMPIKI
-
Balozi wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania nchini Algeria, Mhe. Iman
Njalikai, alikutana na kufanya mazungumzo na Rais wa Chama cha Kamati za
Kitaifa za Oli...
1 hour ago
0 Comments