Mchezaji wa Timu ya Afya Zanzibar akijiandaa kudaka mpira wakati wa Mchezo wao wa Ligi Kuu ya Netiboli Kanda ya Unguja mchezo uliofanyika Uwanja wa Gymkhana. Timu ya JKU imeshinda mchezo huo kwa mabao 48 - 28.
TAIFA STARS YAFUZU HATUA YA MTOANO AFCON
-
NA EMMANUEL MBATILO, MICHUZI TV
Timu ya Taifa ya Tanzania "Taifa Stars imefanikiwa kufuzu hatua ya mtoano
ya michuano ya Kombe la Mataifa Afrika (AFCON) kw...
11 hours ago
0 Comments