Wageni wakiwa katika matembezi yao na kujipatia mahitaji wa bidhaa mbalimbali katika mitaa ya Mji Mkongwe wa Zanzibar, kama walivyokutwa na mpiga picha wetu akiwa katika mitaa ya Mji Mkongwe wa Zanzibar.
TASAF YAJIVUNIA MAFANIKIO YALIYOPATIKANA KUPITA MRADI WA KUPUNGUZA
UMASIKINI AWAMU YA NNE
-
Na Said Mwishehe,Michuzi TV -Karatu
MKURUGENZI Mtendaji wa Mfuko wa Maendeleo ya Jamii(TASAF) Shedrack Mziray
ametoa taarifa ya mafanikio ya Mradi wa Kupun...
1 hour ago
0 Comments