6/recent/ticker-posts

Mradi wa Usambazaji wa Mabomba ya Maji Safi na Salama Zanzibar Ukiendelea Kwa Kasisi.

Wafanyakazi wa Kampuni ya Kichina ya STECOL Inayosambaza  mabomba ya Maji Safi na Salama katika Mkoa wa Mjini Magharibi Unguja, wakiendelea na uwekaji wa mabomba hayo mapya katika maeneo mbali mbali katika Mji wa Unguja. Kama walivyokutwa na Kamera yetu wakiwa katika mitaa ya maruhubi wakiweka mabomba hayo kuelekea bububu. kama wanavyoonekana pichani.



Post a Comment

0 Comments