Naibu Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Amali Mhe. Simai Moh’d Said (wa kwanza kulia) ambae pia ni Mjumbe wa Kamati ya Ustawi wa Jamii ya Baraza la Wawakilishi akizungumza na wajumbe wa kamati hiyo mara baada ya kukagua miundombinu katika Skuli ya Sekondari ya Moh'd Juma Pindua iliyopo Wilaya ya Mkoani, Mkoa wa Kusini Pemba.
NBC Yaahidi Kuimarisha Ushirikiano Na Wadau, Yasisitiza Mwelekeo Wake
Utoaji Huduma Jumuishi Za Kifedha
-
Benki ya Taifa ya Biashara (NBC) imesisitiza dhamira yake ya kuendelea
kushirikiana kwa ukaribu na wadau mbalimbali wakiwemo Serikali,
wafanyabiashara, w...
33 minutes ago


0 Comments