Vijana wa Kikundi cha Kidedea kutoka Kajengwa Makunduchi wakitowa burudani ya kuhamasisha Michuano ya Fainali ya Michuano ya Yamleyamle CUP ZBC Zanzibar, imeibuka mshindi wa Vikundi vya uhamasishaji katika michuano hiyo na kujinyakulia Tunzo na Fedha Taslim shilingi Laki Moja.
DC KILOMBERO ATAJA FAIDA LUKUKI UWEPO WA KITUO CHA KUPOZA UMEME IFAKARA
-
Na Said Mwishehe,Michuzi TV
JUKWAA la Wahariri Tanzania (TEF) limefanyika ziara ya kutembelea Kituo cha
Kupoza Umeme cha Ifakara wilayani Kilombero mkoa...
5 minutes ago





0 Comments