Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akizungumza wakati alipofungua Mashindano ya AFCON U17 kwenye Uwanja wa Taifa Jijini Dar es salaam Aprili 14, 2019. Wenye Jezi za Bluu ni Timu ya Tanzania – Serengeti Boys na kulia ni Timu ya Nigeria. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
WANAWAKE TTCL WAWASAIDIA WATOTO WAGONJWA WA MOYO JKCI
-
*Baadhi ya Wanawake wa Shirika la Mawasiliano Tanzania (TTCL) wakiwa
na Daktari Bingwa Mbobezi wa Magonjwa ya Moyo kwa Watoto - JKCI, Dk.
Naizihijwa Majan...
6 hours ago
0 Comments