Mkuu wa kurugenzi ya Elimu ya Wapiga Kura, Habari na Uhusiano Tume ya Uchaguzi ya Zanzibar Ndugu. Juma Sanifu Sheha akifunga semina ya Wanafunzi Skuli ya Sekondari ya Mtule Wilaya ya Kusini kuhusu maandalizi ya uandikishaji na uhakiki wa taarifa za Wapiga Kura katika Daftari la kudumu la Wapiga Kura. Semina hiyo ilifanyika tarehe 15/04/2019
JUMUIYA YA WANAWAKE WA REA YAGAWA MAJIKO 300 BURE KWA WAKAZI WA WILAYA YA
BAHI MKOANI DODOMA
-
Na Mwandishi wetu Dodoma
Jumuiya ya Wanawake wa Wakala wa Nishati Vijijini (REA) leo alasiri, tarehe
9 Machi, 2026 wamesambaza bure majiko banifu 300 kwa...
7 minutes ago

0 Comments