Msanii wa Muziki wa Kizazi Kipya Tanzania Darasa akitowa burudani wakati wa hafla ya Uzinduzi wa Ofa ya Zantel katika viwanja vya Mapinduzi Square Michezani Zanzibar, ya Msako Time kujipatia Ofa ya Internet kwa kujiunga kwa shilingi 500/= na zaidi kupata ofa hiyo kuazia saa tisa mchana hadi saa kumi na moja jioni.
HAKIKISHENI MRADI WA BWAWA LA MAJI KIDUNDA HAUSIMAMI - DKT MWIGULU
-
WAZIRI MKUU Dkt Mwigulu Nchemba ameiagiza Wizara ya Maji kuhakikisha mradi
wa Bwawa la Maji Kidunda hausimami na unakamilika kwa wakati ili uanze
kutoa hud...
3 hours ago
0 Comments