Ndege maalum ya Jeshi la Kenya iliyobeba Dhahabu ya Tanzania iliyokamatwa Kenya ikiwasili katika uwanja wa Ndege wa kimataifa wa Julius Nyerere Jijini Dar es salaam kabla ya kukabidhiwa kwa Serikali ya Tanzania ambapo Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe.Dkt.John Pombe Magufuli atashuhudia makabidhiano hayo Ikulu Dsm kutoka kwa Mjumbe Malalum wa Rais Wa Kenya Mhe. Uhuru Kenyata. PICHA NA IKULU
VODACOM TANZANIA FOUNDATION YAKABIDHI MIUNDOMBINU YA VYOO KWA SHULE MBILI
WILAYANI BUTIAMA NA BARIADI.
-
-NI KATIKA SHULE ZA MSINGI SIMA A NA MADARAKA, IKITIMIZA ILIYOTOLEWA WAKATI
WA MSAFARA WA TWENDE BUTIAMA 2025.
Simiyu & Mara, Tanzania 17Machi 2026: Taas...
6 hours ago


0 Comments