Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk. Ali Mohamed Shein, akiwasili katika viwanja vya ukumbi wa Sheikh Idrisa Abdulwakil Kikwajuni Zanzibar kuhudhuria Maadhimishi ya Siku ya Utumishi wa Umma, kulia Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Utumishi wa Umma na Utawala Bora Zanzibar Mhe. Haroun Ali Suleiman na kushoto Mkuu wa Mkoa wa Mjini Magharibi Unguja Mhe. Ayoub Mohammed Mahmoud. wakielekea katika ukumbi wa mkutano.
SERENGETI INATAMBULIKA DUNIANI KAMA DARASA LA KUJIFUNZA ULINZI WA BIOANUAI
NA UTALII ENDELEVU.
-
Na. Jacob Kasiri - Serengeti
Kauli ya Hifadhi ya Taifa Serengeti kuwa ni darasa katika shughuli za
ulinzi wa maliasili na eneo maarufu duniani kwa ajili...
46 minutes ago
0 Comments