Uwanja wa Mao Zedong Zanzibar umekuwa mkombozi wa Michuano mbalimbali ya mchezo wa mpira katika visiwa vya Zanzibar, kupunguza uhaba wa viwanja na kuweza kufanyika michezo miwili katika viwanja hivyo, kama inavyoonekana pichani michezo hiyo ikiendelea kwa mechi mbalimbali za Ligi za Daraja la Kwanza na ligi kuu ya Zanzibar.
MAKAMU WA RAIS DKT .NCHIMBI ATOA WITO KWA WIZARA NA SEKTA ZA MAZINGIRA
KUFANYA KAZI KWA USHIRIKIANO
-
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe.Balozi Dkt. Emmanuel
Nchimbi ametoa wito kwa Wizara zinahusiana na Sekta ya Mazingira, kufanya
kazi k...
34 minutes ago
0 Comments