Mchezaji wa Timu ya Beitras akijianda kurusha mpira golini kwa Timu ya Polisi wakati wa mchezo wa Michuano ya Kombe la Karume Cup mchezo uliofanyika Uwanja wa Mao Zedong Zanzibar Timu ya Polisi imeshinda mchezo huo .
DK.MIGIRO ATOA MWITO KWA WABUNGE,MAWAZIRI KUSHIRIKI VIKAO VINAVYOITISHWA NA
MABALOZI WA MASHINA ,MATAWI
-
Na Said Mwishehe,Michuzi TV
KATIBU Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi( CCM) Dk.Asha-Rose Migiro ametoa mwito
kwa viongozi wa ngazi mbalimbali wakiwemo Wabunge n...
5 hours ago
0 Comments