Tujikumbushe enzi za kahawa kuuziwa katika Dele maalum na wauzaji kuwa katika vazi kama hilo la kikoto na kupitisha mitaani na katika maeneo maalum ya kuuziwa kahawa katika Visiwa vya Zanzibar.Wachache wamewahi kuona na kwa sasa madele hayo yamebaki kuwa historia katika maduka ya kuuzia vitu vya Kitalii Zanzibar katika mitaa ya Mji Mkongwe wa Zanzibar utayakuta yakiwa katika maduka hayo.
DK.MIGIRO ATOA MWITO KWA WABUNGE,MAWAZIRI KUSHIRIKI VIKAO VINAVYOITISHWA NA
MABALOZI WA MASHINA ,MATAWI
-
Na Said Mwishehe,Michuzi TV
KATIBU Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi( CCM) Dk.Asha-Rose Migiro ametoa mwito
kwa viongozi wa ngazi mbalimbali wakiwemo Wabunge n...
5 hours ago

0 Comments