Moja ya Skuli za Sekondari za Kisasa zilizojengwa katika maeneo mbalimbali ya Zanzibar na Serikali ya Mapinduzi Zanzibar moja wapo ni hili la Kibuteni Mkoa wa Kusini Unguja likiwa katika hatua za mwisho za ujenzi wake na kutowa huduma ya Elimu ya Sekondari kwa Watoto wa Mkoa wa Kusini Unguja.
TIRDO Yachangia Kukuza Ubunifu na Ujasiriamali wa Vijana nchini
-
NA EMMANUEL MBATILO, DAR ES SALAAM
NAIBU Waziri wa Viwanda na Biashara, Deniss Londo, amesema kupitia Shirika
la Utafiti na Maendeleo ya Viwanda Tanzania (...
12 hours ago
1 Comments
Watasoma wanafunzi wa darasa la ngap watakao soma????
ReplyDelete