Moja ya Skuli za Sekondari za Kisasa zilizojengwa katika maeneo mbalimbali ya Zanzibar na Serikali ya Mapinduzi Zanzibar moja wapo ni hili la Kibuteni Mkoa wa Kusini Unguja likiwa katika hatua za mwisho za ujenzi wake na kutowa huduma ya Elimu ya Sekondari kwa Watoto wa Mkoa wa Kusini Unguja.
ENDELEENI KUIMARISHA UFUATILIAJI WA UTEKELEZAJI WA MTAALA ULIOBORESHWA.
-
Serikali imeitaka Taasisi ya Elimu Tanzania kuendelea kuimarisha
ufuatiliaji wa tathimini ya utekelezaji wa mitaala iliyoboreshwa ili
kuleta matokeo cha...
45 minutes ago
1 Comments
Watasoma wanafunzi wa darasa la ngap watakao soma????
ReplyDelete