6/recent/ticker-posts

Mchezo wa Ligi Kuu Daraja la Kwanza Kanda Kati ya Kikwajuni na Miembeni Zimeshindwa Kutambiana Kwa Kutoka Sare ya Bao.2-2 Mchezo Uliofanyika Uwanja wa Mao Zedong Jijini Zanzibar.

Mshambuliaji wa Timu ya Kikwajuni akiwa na mpira akijaribu kumpita beki wa Timu ya Miembeni wakati wa mchezo wao wa Ligi Kuu Daraja la Kwanza  Kanda uliofanyika Uwanja wa Mao Zedong Jijini Zanzibar. Timu hizo zimetoka sare ya bao 2-2.















Post a Comment

0 Comments