Washiriki wa Maandamano ya Uzinduzi wa Tamasha la Sauti za Busara Zanzibar wakipita katika Mitaa ya Mji Mkongwe Jijini Zanzibar wakielekea katika viwanja vya Forodhani kumalizia maandamano hayo katika viwanja hivyo. Uzinduzi huo umefanyika jana 13-2-2020.Maandamano hayo yameazia katika viwanja vya Mapinduzi Square Michezani Kisonge.
WANYAMAPORI NI UTI WA MGONGO WA SEKTA YETU YA UTALII- MAFURU
-
Na Mwandishi Wetu, Michuzi TV
Tanzania imeungana na mataifa mengine duniani kuadhimisha Siku ya
Wanyamapori Duniani, siku maalum inayotambua mchango wa wan...
1 minute ago
0 Comments