Wafanyabishara ya maduka ya Sonara Mkunazini Mji Mkongwe wa Ungyuja wakiwa wameweka ndoo za maji na sabuni kwa ajili ya matumizi ya kunawa mikono kwa Wananchi wanaofika katika maduka hayo kupta huduma. kama inavyoonekani pichani hali halisi katika mtaa huo.
DC Ilala Aagiza Polisi Kuwakamata Wauaji wa Salehe Iddi Salehe
-
Mkuu wa Wilaya ya Ilala, Edward Mpogolo, ameliagiza Jeshi la Polisi Wilaya
ya Kipolisi Ilala, kupitia Kamanda wake ACP Yustino Mgonja, kuhakikisha
lina...
8 hours ago


0 Comments