OFISA Uhusiano Baraza la Vijana Shehiya ya Kianga (BAVIKI), Ahmed Said Mohamed, wa tatu (kulia) akiongoza zoezi la kufanya usafi hospitali ya Kianga, ikiwa ni kuunga mkono juhudi za Serikali katika mapambano dhidi ya maradhi mbalimbali ikiwemo maambukizi ya virusi vya Corona (PICHA NA ABDALLA OMAR).
GGML Kili Challenge Yashiriki Maonesho ya Kilimanjaro Marathon 2026
-
Moshi, Tanzania
GGML Kili Challenge inayotekelezwa kupitia GGML Kili Trust, inashiriki
Kilimanjaro Marathon 2026, maarufu kama “Mbio za Watu”, kupitia ma...
6 hours ago
0 Comments