Goli La kwanza la Timu ya Selemu likiingia wavuni baada ya kipa wa Timu ya Jangombe Boys kushindwa kuizuia shuti hiyo na kuanduika bao la kwanza kwa Timu ya Selemu, katika mchezo wa Ligi Kuu ya Zanzibar uliofanyika katika Uwanja wa Mao Zedong, katika mchezo huo Timu hizo zimetoka sare ya bao 1-1.
DK.MIGIRO ATOA MWITO KWA WABUNGE,MAWAZIRI KUSHIRIKI VIKAO VINAVYOITISHWA NA
MABALOZI WA MASHINA ,MATAWI
-
Na Said Mwishehe,Michuzi TV
KATIBU Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi( CCM) Dk.Asha-Rose Migiro ametoa mwito
kwa viongozi wa ngazi mbalimbali wakiwemo Wabunge n...
4 hours ago
0 Comments