Mafundi wa Kampuni inayojenga barabara ya kiwango cha lami kutoka Kwa nyanya hadi Bububu Polisi wakimalizia ujenzi huo kwa kuweka mzunguko katika makutano ya barabara ya mbuzi na ya kwanyanya kwenda Mjini na Mkoa wa Kaskazini Unguja, kama wanavyoonekana pichani wakiwa katika harakati za ujenzi huo.
OSHA INA NAFASI MUHIMU YA KUWEZESHA SHUGHULI CHA UZALISHAJI-KATIBU MKUU KAZI
-
Wajumbe wa Baraza la OSHA wakifuatilia majadiliano mbalimbali
yaliowasilishwa katika kikaocha Tano cha Baraza la Tano la wafanyakazi wa
OSHA kilichofanyik...
51 minutes ago



0 Comments