Maji ni muhimu kwa kila kitu kwa matumizi yake Binadamu, Mimea na Wanyama wanahitaji maji .Kama anavyoonekana pichani Kuku huyu akijipatia maji kupitia katika bomba la kutolea maji nje katika moja ya nyumba eneo la tunguu Zanzibar Mkoa wa Kusini Unguja.
TANZANIA YATUMIA MICHUANO YA AFCON 2025 KUUZA MAZAO YA UTALII
-
Na mwandishi wetu, Morocco
NAIBU Waziri wa Maliasili na Utalii, Hamad Hassan Chande (Mb), amesema
Tanzania inatumia fainali za Kombe la Mataifa ya Afrika (...
9 hours ago
0 Comments