Mgombea Mwenza wa Kiti cha Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa tiketi ya CCM ambae pia ni Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan, akisalimiana na Wanachama wa Chama cha Mapinduzi na Wananchi wa kijiji cha Vikindu Wilaya ya Mkuranga alipokuwa njiani akielekea Mkuranga kwenye Kampeni za Chama cha Mapinduzi CCM leo Septemba 07,2020. (Picha na Ofisi ya Makamu wa Rais)
MWENEZI PWANI : HOTUBA YA RAIS DKT. SAMIA IMETOA DIRA YA MATUMAINI KWA
TAIFA LETU
-
Katibu wa Siasa, Uenezi na Mafunzo CCM Mkoa wa Pwani Dkt. David Mramba.
Na Khadija Kalili, Kibaha
KATIBU Katibu wa Siasa ,Uenezi na Mafunzo Chama Cha Ma...
2 hours ago
0 Comments