Mgombea Urais kupitia Chama cha Mapinduzi
CCM, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. John Pombe
Magufuli akizungumza na Wananchi wa Manyoni katika Kampeni za Urais wakati
akiwa njiani kuelekea Singida mjini leo 1 Septemba, 2020.
MUUNGANO WAZIDI KUIMARISHA USHIRIKIANO NA KUIBUA VIPAJI VYA MICHEZO
-
Wachezaji wa Timu ya Mpira wa Pete (Netiboli) ya Ofisi ya Makamu wa Rais
Muungano na (Mazingira) wakiwa katika picha ya pamoja muda mfupi baada ya
kuwasil...
8 hours ago


0 Comments