Mwenyekiti wa Tume ya Uchaguzi Zanzibar ZEC Jaji Mkuu Mstaaf wa Zanzibar Mhe. Hamid Mahmoud Hamid, akipokea Fomu za Mgombea Urais kupitika Chama cha Mapinduzi Mhe. Dk. Hussein Mwinyi wakati wa zoezi hilo lililofanyika katika Ofisi za Tume ya Uchaguzi Maisara Jijini Zanzibar.
Nishati : Rais Dkt. Samia Aweka Jiwe la Msingi Mradi wa Ujenzi wa Matanki
ya Kupokea Mafuta Bandari ya Dar es Salaam
-
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu
Hassan akivuta kitambaa kuashiria uwekaji wa jiwe la msingi Mradi wa ujenzi
wa Mat...
17 hours ago








0 Comments