Mwenyekiti wa Tume ya Uchaguzi Zanzibar ZEC Jaji Mkuu Mstaaf wa Zanzibar Mhe. Hamid Mahmoud Hamid, akipokea Fomu za Mgombea Urais kupitika Chama cha Mapinduzi Mhe. Dk. Hussein Mwinyi wakati wa zoezi hilo lililofanyika katika Ofisi za Tume ya Uchaguzi Maisara Jijini Zanzibar.
TANZANIA YATUMIA MICHUANO YA AFCON 2025 KUUZA MAZAO YA UTALII
-
Na mwandishi wetu, Morocco
NAIBU Waziri wa Maliasili na Utalii, Hamad Hassan Chande (Mb), amesema
Tanzania inatumia fainali za Kombe la Mataifa ya Afrika (...
11 hours ago








0 Comments