NDEGE iliotayarishwa na Chama Cha Mapinduzi kwa ajili ya kurusha Vipeperushi vya Mgombea Urais wa Zanzibar kwa Chama Cha Mapinduzi Mhe.Dk. Hussein Mwinyi ikitupa vipeperushi kwa Wananchi walioko katika viwanja vya Demokrasia na maeneo mengi ya Zanzibar.
NAIBU WAZIRI OFISI YA RAIS -UTUMISHI ARIDHISHWA UTEKELEZJI MIRADI YA TASAF
-
Na Mwandishi Wetu, Karatu.
NAIBU Waziri wa Ofisi ya Rais-Utumishi, Regina Qwaray, ameonyesha
kuridhishwa na utekelezaji wa miradi iliyojengwa na Mfuko wa...
2 hours ago
0 Comments