Boti za Azam Marine na Zanzibar Faste Ferry wakiwa katika Safari zao za kawaida kati ya Dar es Salaam na Zanzibar zinavyooneka wakiwa katika safari hiyo wakitokea Jijini Da es Salaam wakipita katika eneo la chumbwe wakielekea katika bandari ya malindi kumalizia safari yao na abiria waliotoka nao Dar.
RC MARA ATEMBELEA UJENZI WA MAKAZI MAPYA YA WANANCHI WANAOPISHA UPANUZI WA
MGODI WA BARRICK NORTH MARA
-
Mkuu wa Mkoa wa Mara,Kanali Evans Mtambi akitembelea moja ya sehemu
inapojengwa nyumba ya mwananchi ambaye amepatiwa fidia kupisha upanuzi wa
mgodi wa Bar...
21 minutes ago
0 Comments