Bendela katika jengo la Afisi Kuu ya Chama Cha Mapinduzi Kisiwandui Jijini Zanzibar zikipepea nusu mlongoti kwa ajili ya kuombeleza kifo cha Rais Mstaaf wa Zambia Hayati Kenneth Kaunda, Tanzania ikiungana na Wananchi wa Zambia katika kuombeleza Kifo cha Rais Mstaafa wa Zambia.
Wanafunzi 40 Mabalozi wa Utalii Watembelea Ngorongoro na Serengeti
-
Na Pamela Mollel,Babati
Wanafunzi 40 kutoka shule nne zilizopo ndani ya Hifadhi ya Jamii ya
Wanyamapori ya Burunge (Burunge WMA) wilayani Babati, mkoa wa M...
5 hours ago
0 Comments