Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Samia Suluhu Hassan akiagana na viongozi mbalimbali katika uwanja wa ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere Jijini Dar es Salaam wakati akielekea nchini Burundi kwa ajili ya ziara ya siku mbili leo tarehe 16 Julai, 2021. PICHA NA IKULU
SERIKALI YATOA BILIONI 16 KUFANYA MABORESHO MAKUBWA YA KUSAMBAZA UMEME
KITUO CHA KIBETA -BUKOBA
-
Na Diana Byera,Bukoba.
SERIKALI imetoa Sh. 16 kwa ajili ya kufanya maboresho ya upanuzi na njia za
kusambaza umeme kwenye kituo cha kupokea,kupoza na kusa...
9 minutes ago


0 Comments