Naibu Katibu Mkuu Ofisi ya Rais Fedha na Mipango Zanzibar Ndg. Aboud Hassan Mwinyi akikata utepe kuashiria kuzindua utumiaji wa Risiti za Kieletroniki katika huduma za kuingia na kupanda mapembea kwa kutumia risiti za Kieletroniki katika Uwanja wa Watoto Kariakoo Jijini Zanzibar , hafla hiyo imefanyika katika Kiwanja cha kufurahishia Watoto Kariakoo Jijini Zanzibar, na (kushoto kwake) Mkurugenzi Mtendaji wa Mfuko wa Hifadhi ya Jamii Zanzibar Ndg.Nassor Shaban Ameir .
WAJA ATOA SADAKA KWA MISIKITI 65 GEITA MJINI
-
Mbunge wa Jimbo la Geita Mjini, Chacha Wambura, ametoa tende kwa misikiti
65 iliyopo katika jimbo lake ikiwa ni sadaka kwa waumini wa dini ya
Kiislamu wana...
14 minutes ago

0 Comments