Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Hussein Ali Mwinyi (katikati) akizungumza na Ujumbe wa Madaktari kutoka ‘Haukeland University Hospital’ ya Nchini Norway (kushoto), ambao wamesaidia ujenzi wa Hospital ya Wagonjwa wa Akili Kidongochekundu Wilaya ya Mjini,walipofika Ikulu Jijini Zanzibar.[Picha na Ikulu] 17/11/2021
NAIBU WAZIRI WA UCHUKUZI NA RAIS WA RED CROSS TANZANIA DAVID KIHENZILE
ATEMBELEA OFISI ZA RED CROSS AFRIKA KUSINI
-
JOHANNESBURG: Naibu Waziri wa Uchukuzi, ambaye pia ni Rais wa Red Cross
Tanzania David Kihenzile, ametembelea ofisi za Red Cross jijini
Johannesburg, ambak...
33 minutes ago
0 Comments