Naibu Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Balozi Mbarouk Nassor Mbarouk amesaini Kitabu cha Maombolezo kufuatia kifo cha Rais wa UAE, Sheikh Khalifa bin Zayed bin Sultan Al Nahyan katika Ubalozi wa nchi hiyo leo Jijini Dar es Salaam.
JAFO AANZA KUTEKELEZA AHADI ZAKE KISARAWE
-
Mbunge wa Jimbo la Kisarawe, Dkt. Selemani Jafo,akizungumza katika kikao
cha Kamati ya Siasa ya Wilaya ya Kisarawe kwa ajili ya kuwashukuru wajumbe
mara...
22 minutes ago
0 Comments