Spika wa Baraza la Wawakilishi Zanzibar Mhe Zubeir Ali Maulid akizungumza na Balozi Mdogo wa China nchini Tanzania zhang Zhisheng wakati alipotembelewa na Balozi huyo ofisini kwake Chukwani kwa ajili ya Kujitambulisha pamoja na kuendelea kuimarisha ushirikiano uliopo baina ya China na Zanzibar.
PROF. MKUMBO APONGEZA PROGRAMU YA GO GREEN NA IMBEJU, BIASHARA CHANGA ZA
VIJANA ZIKIWEZESHWA HADI SHILINGI MILIONI 500
-
Waziri wa Mipango na Uwekezaji, Prof. Kitila Mkumbo (katikati) akiwa na
viongozi wengine wa wa Serikali, Bunge, na Benki ya CRDB wakipata maelezo
kutoka m...
8 minutes ago
0 Comments