Spika wa Baraza la Wawakilishi Zanzibar Mhe Zubeir Ali Maulid akizungumza na Balozi Mdogo wa China nchini Tanzania zhang Zhisheng wakati alipotembelewa na Balozi huyo ofisini kwake Chukwani kwa ajili ya Kujitambulisha pamoja na kuendelea kuimarisha ushirikiano uliopo baina ya China na Zanzibar.
Airtel Tanzania Inathibitisha Dhamira yake ya Kuunganisha na Kukuza
Ujumuishaji wa Kifedha Wakati wa Iftari ya Ramadan
-
Dar es Salaam, Machi 9, 2026.
KAMPUNI ya Airtel Tanzania Jumatatu iliandaa hafla maalumu ya Iftari ya
Ramadan jijini Dar es Salaam, ikiwakutanisha viong...
9 hours ago
0 Comments