Kikosi Kabambe cha Timu ya Small Simba kilichokuwa chini ya Kocha Msoma Mdogo Abdughan na kuweza kuweka Historia ya mchezo wa Mpira Zanzibar na Tanzania Bara katika Michuano ya Ligi Kuu ya Muungano, kulita upinzani kwa Timu za Simba na Yanga katika michuano hiyo katika Uwanja wa Amaan Zanzibar.
Serikali Yaendelea Kuwezesha Wafanyabiashara Ndogondogo Kupitia Mikopo
Nafuu ya NMB
-
Na Avila Kakingo, Michuzi Tv
SERIKALI imeendelea kuchukua hatua madhubuti za kuwawezesha wafanyabiashara
ndogondogo, hususan vijana na wanawake, kwa kutoa...
10 minutes ago

0 Comments