Kikosi Kabambe cha Timu ya Small Simba kilichokuwa chini ya Kocha Msoma Mdogo Abdughan na kuweza kuweka Historia ya mchezo wa Mpira Zanzibar na Tanzania Bara katika Michuano ya Ligi Kuu ya Muungano, kulita upinzani kwa Timu za Simba na Yanga katika michuano hiyo katika Uwanja wa Amaan Zanzibar.
Elimu : Mkenda Azindua Bodi Mpya ya TCU, Asisitiza Uimarishaji wa Usimamizi
na Uthibiti Ubora wa Elimu ya Juu
-
Na Karama Kenyunko Michuzi Tv
WAZIRI wa Elimu, Sayansi na Teknolojia, Profesa Adolf Mkenda ameielekeza
Tume ya Vyuo Vikuu Tanzania (TCU) kuendelea kusim...
11 hours ago

0 Comments