RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la
Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akimsikiliza Mhandisi wa Wizara ya Afra
Zanzibar Said Ali Bakar, akitowa maelezo ya michoro ya Jengo Jipya la Hospitali
ya Wilaya Kitogani Wilaya ya Kusini Unguja,
wakati wa ziara yake katika Wilaya hiyo kutembelea Miradi ya Maendeleo,
hospitali hiyo inayojengwa kwa Fedha za Uviko-19, na (kushoto kwa Rais) Waziri
wa Afya Zanzibar Mhe. Nassor Ahmed Mazrui na (kulia kwa Rais) Naibu Waziri wa
Afya Zanzibar Mhe Hassan Hafidh Khamis.
TRA Yazindua Mafunzo ya IDRAS, Taasisi 60 Kuunganishwa
-
MAMLAKA ya Mapato Tanzania (TRA) imesema hadi kufikia uzinduzi rasmi wa
Mfumo Jumuishi wa Ukusanyaji wa Mapato ya Ndani (IDRAS) unaotarajiwa
kufanyika Febr...
14 minutes ago
0 Comments