Ujumbe wa Serikali ya Tanzania unaoongozwa na Katibu Mkuu, Ofisi ya Waziri Mkuu – Kazi, Vijana, Ajira na Watu Wenye Ulemavu, Prof. Jamal Katundu kwa kushirikiana na Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Balozi Fatma Rajab umetembelea Uwanja wa Kimataifa wa Khalifa ulipo Jijini Doha, Qatar. Uwanja huo pia unajulikana kama Uwanja wa Taifa, ni moja kati ya uwanja utakaotumika kwenye mashindano ya Kombe la Dunia yatakayoanza mwezi Novemba 2022.
ZAIDI YA SHILINGI MILIONI MIA MOJA ZAKUSANYWA UJENZI WA OFISI YA CCM WILAYA
YA TUNDURU
-
Zaidi ya Shilingi milioni mia moja na mchango wa vifaa vya ujenzi, ikiwemo
saruji zimepatikana katika harambee ya uchangiaji wa ujenzi wa ofisi mpya
ya kis...
1 hour ago


0 Comments