Meneja wa Shirika la Bima la Taifa Kanda ya Zanzibar Ndg.Khamis Msami akimkabidhi Fedha Taslimu shilingi Laki Tano Mchezaji Bora wa Mchezo wa ufunguzi wa Michuano ya 17 Kombe la Mapinduzi Mukrim Juma Madai kwa kuibuka mchezaji Bora wa Mchezo huo wa Ufunguzi kati ya Timu ya Mlandege na KVZ uliofanyika leo nJioni katika Uwanja wa Amaan Jijini Zanzibar.Timu hizo zimetoka sare ya Bao 1--1.
DKT. CHAYA: UWEKEZAJI WA VIWANDA NI NGUZO YA AJIRA, MASOKO YA WAKULIMA NA
UCHUMI WA TAIFA
-
Mkurugenzi Mtendaji wa Jambo Group of Companies, Mhe. Salum Khamis akieleza
hatua za uzalishaji pamoja na uwekezaji uliofanyika kiwandani.
Mkurugenzi wa K...
1 hour ago
1 Comments
Well done madai
ReplyDelete